Kauli ya Leo: Diwani ya Mashairi

KSh 370.00

Close
Price Summary
  • KSh 370.00
  • KSh 370.00
  • KSh 370.00
Out of Stock
Description

Kauli ya Leo ni diwani yenye mashairi arobaini, yakiwemo ya kiarudhi na huru. Mashairi katika diwani hii yameangazia masuala mbalimbali yanayoikumba jamii ya leo, kama vile majukumu ya kijinsia, utunzaji wa maliasili, uhuru wa wanyama, haki za watoto, teknolojia, magonjwa, lishe bora, usalama na uongozi bora.

Mashairi katika diwani hii yatamsaidia mwanafunzi kufikia matarajio yaliyowekwa na mtaala wa Gredi ya Tisa kuhusu vipengele vya ushairi, yaani wahusika, maudhui, dhamira, mbinu za lugha na muundo. Vilevile, yatawapa wanafunzi mtazamo mpana wa maisha pamoja na kuwapa changamoto ya kuwa wananchi waadilifu na wazalendo.

Watunzi wa mashairi haya, Bw. Ahmed Shikuku, Bw. Jackson Muraya, Bi. Ruth Omache na Bw. Evans Osoro, ni walimu wenye tajriba pana katika ufundishaji wa Kiswahili.

Diwani hii ina kiambatisho cha kidijitali ambacho kina maelezo ya kina kuhusu vipengele vya uchambuzi wa mashairi, uchambuzi wa baadhi ya mashairi pamoja na mazoezi ambayo yanaakisi matokeo maalumu katika mtaala wa Gredi ya 9 katika ushairi. Pia kina rekodi za mashairi hayo yakikaririwa au kughaniwa.
Maelezo hayo yako kwenye Msimbo huu wa QR.

Reviews (0)
0 ★
0 Ratings
5 ★
0
4 ★
0
3 ★
0
2 ★
0
1 ★
0

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

Recently Viewed

Scroll To Top
Close
Close
Close

My Cart

Shopping cart is empty!

Continue Shopping

Sidebar