Ajali Ya Keki Na Hadithi Nyingine 4A

KSh 480.00

Close
Price Summary
  • KSh 480.00
  • KSh 480.00
  • KSh 480.00
Hurry, Only 2 left.
Description

Mpango wa Leshan, Aida na marafiki zao unatumbukia nyongo baada ya ajali ya keki. Je, wa kulaumiwa ni nani? Wataendelea na mpango wao au watautupilia mbali? Unafikiri mbuzi kisirani anayeleta hasara anafaa kufanyiwa nini?  Soma hadithi hizi ufahamu jinsi Aida na nduguye Leshan pamoja na marafiki zao wanavyokabiliana na changamoto mbalimbali huku wakijifunza  umuhimu wa kushirikiana, Kuheshimiana na kudumisha upendo katika jamii.

Ajali ya keki na hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi za kusisimua zinazolenga kukuza maadiliya upendo pamoja na heshima miongoni mwa wasomaji.

Author: Rebecca Nandwa
Reviews (0)
0 ★
0 Ratings
5 ★
0
4 ★
0
3 ★
0
2 ★
0
1 ★
0

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

Scroll To Top
Close
Close
Close

My Cart

Shopping cart is empty!

Continue Shopping

Sidebar
Ajali Ya Keki Na Hadithi Nyingine 4A
Ajali Ya Keki Na Hadithi Nyingine 4A
KSh 480.00 Add to cart