Fani Ya Ushairi

KSh 800.00

Close
Price Summary
  • KSh 800.00
  • KSh 800.00
  • KSh 800.00
Out of Stock
SKU: 725 Category:
Description

Fani ya Ushairi kwa Shule za Upili ni kitabu kilichofanytwa utafiti wa kina kuondoa dhana ya ugumu. Kitabu kimeandikwa kwa utaalamu mkubwa wa kumfafanulia mwanafunzi utanzu wa ushairi. Kila kipengele cha ushain kimeelezwa kwa npa nyepesi na kwa undani zaidi kwa lengo la kurahisisha uelewekapo

Mada zote za ushairi kwenye silabasi ya Kiswahili kwa Shule za Upili zimeshughulikiwa kwa kina na mifano anuwai kutolewa. Kila mfano umefafanuliwa kwa undani wa kumpa mwanafunzi mwangaza zaidi katika mada husika.

Mwishoni mwa kila sura kuna maswali yaliyotolewa Maswali haya yatamwezesha mwanafunzi kupima uelewa wake katika mada alizosoma. Yanatahini stadi zote za ufumbuzi.

Reviews (0)
0 ★
0 Ratings
5 ★
0
4 ★
0
3 ★
0
2 ★
0
1 ★
0

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

Scroll To Top
Close
Close
Close

My Cart

Shopping cart is empty!

Continue Shopping

Sidebar