Maskini Bibi Yangu! 6b ni kitabu kinacholenga wanufunzi wa darasa la Sita katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao kusoma.Miongoni mwa sifu za kipekee za kitabu hiki ni:masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya utambaji hadithi na usimulizi wa nafsi ya kwanza umoja.kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tanukali za sauti, vichekesho, utani, takriri, taswira nu picha za rangi zenye kusisimua.kuwapitisha na kuwalea wunufunzi katika muzingira ya kuwaheshimu watu wazima wenye uhusiano nao au wasiowahusu, maisha ya nyumbani, mazoezi, michezo na mashindano, kilimo, afya na hudumu ya kwanza, teknolojia ya mawasiliano, uwajibikaji, utu. uvumilivu na mandhari ya mijini na vijijini.
Maskini Bibi Yangu! 6B
Previous product
Bomba the Cub 2g
KSh 189.00
Next product
Go For It! NPPE 6e
KSh 307.00
KSh 313.00
Close
Price Summary
- KSh 313.00
- KSh 313.00
- KSh 313.00
Out of Stock
Categories: CHILDREN’S STORY BOOKS, OXFORD
Reviews (0)
Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.
Related Products
KSh 1,183.00
KSh 534.00
KSh 655.00
KSh 1,026.00
KSh 435.00
KSh 1,015.00
KSh 940.00
Recently Viewed
KSh 260.00
KSh 120.00
KSh 841.00
KSh 420.00
KSh 267.00
KSh 313.00
KSh 493.00
KSh 320.00
KSh 250.00
KSh 232.00
KSh 232.00
KSh 420.00
KSh 283.00




























There are no reviews yet.