Phoenix KCPE Kilele Cha Kiswahili 8

KSh 870.00

Close
Price Summary
  • KSh 870.00
  • KSh 870.00
  • KSh 870.00
Out of Stock
Description

Kilele cha Kiswahili ndicho kile kile kilichojulikana kwa jina to Kiswahili Jalili. Kiswahili Jalili sasa kimeboreshwa hadi kufikia kileleni; yaani Kilele cha Kiswahili. Kilele cha Kiswahili ni miongoni mwa vitabu vingine katika msururu wa KCPE Summit Revision. Kitabu hiki:

  • Kimefikisha Kiswahili kwenye kileleta cha lugha na kubadilisha mkondo wa kufunza Kiswahili kulingana na mabadiliko ya mtindo wa utahini wa mtihani wa KCPE miaka michache iliyopita.
  • Kina mazoezi ya majaribio ya KCPE yaliyojumulishwa kwa ajili ya kumwandaa mtahiniwa kufanya mtihani wake.
  • Kinazingatia kwa ukamilifu silabasi iliyoidhinishwa.

ISBN: 9789966478245

Reviews (0)
0 ★
0 Ratings
5 ★
0
4 ★
0
3 ★
0
2 ★
0
1 ★
0

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

Scroll To Top
Close
Close
Close

My Cart

Shopping cart is empty!

Continue Shopping

Sidebar