Stadi Za Kiswahili Grade 5

KSh 592.00

Close
Price Summary
  • KSh 592.00
  • KSh 592.00
  • KSh 592.00
Out of Stock
Description

Stadi za Kiswahili ni mfululizo wa vitabu vya kiada vya Kiswahili vilivyoandaliwa kwa kufuata Mtaala wa Umilisi. Kitabu hiki kina sifa kuu zifuatazo:
• Kimeandikwa kwa Kiswahili cha kiwango cha mwanafunzi wa Gredi ya 5.
• Maswali dadisi yametumiwa kutanguliza dhana zilizomo.
• Kimejumuisha shughuli za mwanafunzi binafsi, shughuli za wanafunzi wawiliwawili na za makundi ya wanafunzi.
• Kimeshughulikia masuala makuu yote kwa mujibu wa ruwaza ya Kiswahili cha Gredi ya 5
• Kimejumuisha mada kuu na mada ndogo zote.
• Yaliyomo yamepangwa kulingana na ruwaza ya Kiswahili cha Gredi ya 5.
• Yaliyomo yamewasilishwa kwa ubunifu wa kiwango cha juu.
• Kimeshughulikia matokea maalum yanayotarajiwa katika Gredi ya 5.
• Kimejumuisha umilisi wa kimsingi kwa mujibu wa Mtaala wa Umilisi.
• Kimeshughulikia masuala mtambuko yote.
• Yaliyomo yanakuza maadili yanayopendekezwa katika Mtaala wa Umilisi.
• Shughuli za ujifunzaji zinakuza stadi za kusikiliza na kuzungumza, kusoma na kuandika
• Michoro na picha za rangi zinachangia yaliyomo kueleweka kwa urahisi.
• Maandishi makubwa na ya rangi mbalimbali yanasomeka kwa urahisi.

Haya na mengine mengi yanadhamiriwa kumwezesha mwanafunzi wa Gredi ya 5 kuwasiliana kwa Kiswahili sanifu katika mazingira mbalimbali.

ISBN: 9789966632937

Reviews (0)
0 ★
0 Ratings
5 ★
0
4 ★
0
3 ★
0
2 ★
0
1 ★
0

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

Scroll To Top
Close
Close
Close

My Cart

Shopping cart is empty!

Continue Shopping

Sidebar