Wakazi wa Kijiji cha Ukame wanafyeka misitu na kujigawia mashamba. Muda si muda mvua inakosekana na wanakumbwa na athari za kiangazi. Hawana maji wala chakula. Mimea inanyaukia mashambani huku mifugo wakifa kwa kukosa lishe na maji. Je, watafuata ushauri wa Binti Kitabu kuhusu uhifadhi wa mazingira?
kijiji Cha Ukame
KSh 480.00
Close
Price Summary
- KSh 480.00
- KSh 480.00
- KSh 480.00
Hurry, Only 2 left.
Reviews (0)
Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.













There are no reviews yet.