Mfalme na Majitu ni hadithi inayomhusu mfalme jaba Nene, kiongozi wa nchi ya Undurubo ambaye kwa ujinga na ansa yake, alikufa kifo cha kutisha. Hadithi hizi zimeandikwa na Bwana Leo Odera Omolo. Bwana Omolo ametumia ujuzi wake kuandika hadithi zilizo na mafunzo kwa vijana waanzao kujifunza lugha ya Kiswahili. Kadhalika, hadithi hizi zina mifano mingi ya manufaa kwa watoto katika ujenzi wa utu wema.
Mfalme na Majitu
KSh 167.00
Close
Price Summary
- KSh 167.00
- KSh 167.00
- KSh 167.00
Out of Stock
Reviews (0)
Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.













There are no reviews yet.