Miali ya Ushairi

KSh 487.00

Close
Price Summary
  • KSh 487.00
  • KSh 487.00
  • KSh 487.00
Hurry, Only 1 left.
Description

Ushairi ni taaluma ambayo huwa tatizi mno kwa wanafunzi na wakereketwa wengi wa lugha ya Kiswahili. Katika kuandika Miali ya Ushairi, waandishi wananuia kueleza namna ya kusoma, kuelewa na kuchambua mashairi kwa njia sahili na inayoeleweka vizuri. Miali ya Ushairi ni kitabu muhimu kwa wanafunzi wa vyuo vikuu, vyuo vya walimu na pia katika shule za upili. Ni dafina muhimu kwa walimu wa fasihi na pia kwa wote wanaoashiki fasihi ya Kiswahili.

ISBN: 9789966257994

Reviews (0)
0 ★
0 Ratings
5 ★
0
4 ★
0
3 ★
0
2 ★
0
1 ★
0

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

Scroll To Top
Close
Close
Close

My Cart

Shopping cart is empty!

Continue Shopping

Sidebar
Miali ya Ushairi
Miali ya Ushairi
KSh 487.00 Add to cart