Queenex Paka Wa Zena na Hadithi Nyingine 2C

KSh 290.00

Close
Price Summary
  • KSh 290.00
  • KSh 290.00
  • KSh 290.00
Hurry, Only 2 left.
Description

Queenex hadithi za ziada ni msururu wa hadithi zinazofuata mfumo mpya wa elimu. Mfumo huu wa elimu unadhamiria kuhakikisha kuwa matokeo ya mafunzo ni ujenzi wa umilisi utakaomwezesha mwanafunzi kutumia ujuzi wake kujiendeleza shuleni, nyumbani na katika jamii.
Kitabu hiki ni cha wanafunzi wa Gredi ya Pili na kimejumuisha hadithi za kusisimua, picha za kuvutia na msamiati. Hadithi hizi zitamwezesha mwanafunzi kukuza maadili, umilisi wa lugha na pia kuelewa masuala mtambuko. Mada kuu zilizozingatiwa katika kitabu hiki ni:
– Mwili wangu
– Familia
– Siku za wiki

ISBN: 9789966141163

Reviews (0)
0 ★
0 Ratings
5 ★
0
4 ★
0
3 ★
0
2 ★
0
1 ★
0

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

Recently Viewed

Scroll To Top
Close
Close
Close

My Cart

Shopping cart is empty!

Continue Shopping

Sidebar
Queenex Paka Wa Zena na Hadithi Nyingine 2C
Queenex Paka Wa Zena na Hadithi Nyingine 2C
KSh 290.00 Add to cart