Sudi na Shada Wamwokoa Luka

KSh 309.00

Close
Price Summary
  • KSh 309.00
  • KSh 309.00
  • KSh 309.00
Out of Stock
Category:
Description

Sudi na Shada ni wananaujali na kuudumisha usalama wao kila mahal. Wanapokuwa shuleni, Shada anaumia wakicheza uwanjani. Sudi anashirikiana na wenzake kumsaidia Shada. Je, Shada anaumiaje? Sudi na wenzake wanamsaidiaje Shada?

Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewa wao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanafunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.

ISBN: 9789966642035

Reviews (0)
0 ★
0 Ratings
5 ★
0
4 ★
0
3 ★
0
2 ★
0
1 ★
0

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

Scroll To Top
Close
Close
Close

My Cart

Shopping cart is empty!

Continue Shopping

Sidebar