Mentor KCPE Kielekezi cha KCPE Kiswahili

KSh 690.00

Close
Price Summary
  • KSh 690.00
  • KSh 690.00
  • KSh 690.00
Out of Stock
Description

Kimezingatia kikamilifu silabasi nzima ya Kiswahili inavyoelel<ezwa na Taasisi ya Elimu ya Kenya.  Kimepangwa katika sura tisa ifuatavyo: Sarufl sehemu ya Kwanza, Sarufi sehemu ya Pill, Msamiati sehemu ya  Kwanza, Msamiati sehemu ya Pili, Kusikiliza no Kuongea, Mitungo, Ufahamu, Kuandika (Insha), Majaribio ya KCPE.  Kimefanyiwa utafiti wa kina na kutumia lugha nyepesi na pevu inayosahilisha uelewekaji wa dhana.  Fahamu zote zimezingatia masuala ibuka Kama vile Ufisadi, Haki za watoto, Utunzaji wa Mazingira, Uongozi  bora, Uhalifu na athari na adhabu zake na Teknolojia.  Kina michoro mbalimbali inayofafanua yaliyoelezwa.  Kinaonyesha, katika mabano, ngeli ya kila jina katika msamiati mbalimbali.  Kina angalau methali tano teule baada ya kila mada ya misamiati. Wingi wa baadhi ya msamiati tata

ISBN: 9789966059048

Reviews (0)
0 ★
0 Ratings
5 ★
0
4 ★
0
3 ★
0
2 ★
0
1 ★
0

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

Scroll To Top
Close
Close
Close

My Cart

Shopping cart is empty!

Continue Shopping

Sidebar