Oxford Upeo wa Insha kwa Shule za Upili KCSE

KSh 960.00

Close
Price Summary
  • KSh 960.00
  • KSh 960.00
  • KSh 960.00
In Stock
Description

Upeo wa Insha hwa Shule za Upili ni kitabu kilichoandikwa na walimu wenye tajiriba pana iii kumwongoza mwanafunzi hatua kwa hatua katika utungaji na uandishi wa insha. Katika kitabu hiki, utapata:

  • insha zote zilizopendekezwa katika silabasi ya Kiswahili kwa shule za upili
  • maana ya kila aina ya insha
  • miundo ya aina zote za insha
  • sifa bainifu kwa kila aina ya insha
  • umuhimu na tahadhari zinazoandamana na kila utungo
  • mifano kemkemu ya insha, pamoja na maswali ya mazoezi
  • maelezo kuhusu uandishi na utahini wa insha.

Kitabu hiki ni hazina tosha kwa mwanafunzi, mwalimu na yeyote ambaye angependa kuimarisha ujuzi wake wa mbinu za utungaji.

Reviews (0)
0 ★
0 Ratings
5 ★
0
4 ★
0
3 ★
0
2 ★
0
1 ★
0

There are no reviews yet.

Only logged in customers who have purchased this product may leave a review.

Scroll To Top
Close
Close
Close

My Cart

Shopping cart is empty!

Continue Shopping

Sidebar
Oxford Upeo wa Insha kwa Shule za Upili KCSE
Oxford Upeo wa Insha kwa Shule za Upili KCSE
KSh 960.00 Add to cart